Saturday, February 9

Paul Pogba aiweka Man United top four

Pogba picked up another MOTM award on Saturday

Pogba amezidi kun'gara katika mchezo baada ya kuifungia United magoli 2 katika ushindi wa magoli 3 dhidi ya Fulham.

Katika mchezo huo  Paul Pogba  aliyeibuka "Man of the Match" kwa kuweka wavuni magoli yake mawili huku bao la tatu likifungwa na Anthony Jordan Martial.

Paul Pogba celebrates his second and Manchester United's third goal

Ushindi huu  unawafanya United kupanda hadi nafasi ya nne katika msimamo wa ligi kuu ya Uingereza (EPL)

No comments:

Post a Comment