Mkoa wa Geita unahitaji waaguzi zaidi ya elfu moja na
mia mbili ambapo kwa sasa waliopo ni zaidi mia saba hamsini, wauguzi
hao wanahitajika haraka ili kumaliza tatizo hilo na kuwawezesha wauguzi
waliopo kufanya kazi zao kwa weledi bila kulemewa na wagonjwa.
Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya waaguzi duniani wilayani Mbogwe Mwenyekiti wa chama cha wauguzi Mkoani Geita Amina Ng'ombo amesema uhaba huo una wafanya wauguzi pamoja na madaktari kutopata muda wa mapumziko.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita Dk Joseph Kisala amekiri kuna ukosefu wa wauguzi Mkoani humo.
Nae Mwenyekiti wa chama cha wauguzi Mkoani Geita Amina Ng'ombo amesema wana upungufu wa wauguzi ambapo muuguzi mmoja anahudumia wagonjwa mia moja
Kauli mbiu ya siku ya maadhimisho ya wauguzi duniani ni uuguzi ni sauti inayoongoza katika kufikia malengo endelevu ya maendeleo.
Akizungumza katika maadhimisho ya siku ya waaguzi duniani wilayani Mbogwe Mwenyekiti wa chama cha wauguzi Mkoani Geita Amina Ng'ombo amesema uhaba huo una wafanya wauguzi pamoja na madaktari kutopata muda wa mapumziko.
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Geita Dk Joseph Kisala amekiri kuna ukosefu wa wauguzi Mkoani humo.
Nae Mwenyekiti wa chama cha wauguzi Mkoani Geita Amina Ng'ombo amesema wana upungufu wa wauguzi ambapo muuguzi mmoja anahudumia wagonjwa mia moja
Kauli mbiu ya siku ya maadhimisho ya wauguzi duniani ni uuguzi ni sauti inayoongoza katika kufikia malengo endelevu ya maendeleo.
No comments:
Post a Comment